Jamhuri ya Muungano wa Kivu
Karibu kwenye huduma ya kituo cha kiulimwengu cha Web cha
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Kivu

Kituo cha Web cha Jamhuri ya Muungano wa Kivu, kinatoa nafasi ya kupata habari za taifa lake la Kivu, Raia wake, muungo wake na pia habari zingine zozote, kwa ujumla, zinazohusika na inchi hiyo ya Jamhuri ya Muungano wa Kivu.

United Republic of Kivu
Welcome to the Government of United Republic of Kivu
World Wide Web Service

The United Republic of Kivu World Wide Web Services provides public access to information about the Nation of Kivu, its People, Organizations and general information of the Country.

National Name: United Republic of Kivu / Jamhuri ya Muungano wa Kivu

President: Elie-Desire Atawale

Prime Minister: Jean Lushindo

Population: 7.649.000

Area: 256,803 sq km (Larger than the UK 242,900 sq km)

Major languages: Swahili (official Governmental), Amba, Bemba, Bembe, Bhele, Buyu, Fuliiru, Havu, Hunde, Joba, Kabwari, Kanu, Komo, Kwami, Lega-Mwenga, Lega-Shabunda, Mvuba, Nande, Nyanga, Nyindu, Rwanda, Shi, Songa, Swahili, Talinga-Bwisi, Tembo; are the National languages of the United Republic of Kivu.

The Official Government Languages are Swahili and English being the official commercial language of the Republic for trade and international relations.

Life expectancy: 60 years (men), 65 years (women)

Main exports: Gold, Copper, Cassiterite, Coffee, Cobalt, Precious wood, Palm Oil, Crude Oil.

GNI per capita: US $120

International dialling code (provisional) : +243

Capital and largest city: Bukavu

Other large cities: Goma, Beni, Kindu, Lubero, Rutshuru, Masisi, Walikale, Lubutu, Punia, Kasongo, Kabambare, Fizi, Uvira, Mwenga, Walungu, Kalehe, Bugarura, Shabunda, Pangi, Kibombo, Kabare

Monetary unit: 1 Panda = 100 cents

Major religions: African Spirituality and Christianity

Literacy rate: 66%

Economic summary: GDP/ PPP $6.37 billion; per capita $800.

Real growth rate: 6.5%. Inflation: 9% (2004 est.).

Unemployment: n.a.

Arable land: 3%.

Agriculture: coffee, sugar, palm oil, rubber, tea, quinine, cassava (tapioca), bananas, root crops, corn, fruits; wood products. Pyrethrum, Native Beans, Manioc, Taro, Sorghum, Millet, Sweet Potatoes, Bulrush, Lima beans, Soy Beans, Peanuts, Castor Oil, Squash, etc…

Labour force: n.a.

Industries: mining (Gold, Cassiterite, copper, zinc), mineral processing, consumer products (including textiles, footwear, cigarettes, processed foods and beverages including beer), cement, commercial ship repair.

Natural resources: cobalt, copper, cadmium, petroleum, gold, silver, zinc, manganese, tin, germanium, bauxite, iron ore, coal, hydropower, timber.

Exports: $308 billion f.o.b. (2004 est.):, copper, crude oil, coffee, cobalt.

Imports: $519 billion f.o.b. (2004 est.): foodstuffs, mining and other machinery, transport equipment, fuels.

Major trading partners: Belgium, Finland, U.S., South Africa, France, Zambia, Kenya, Germany (2004).

Communications: Telephones: main lines in use: 2,000 (2002); mobile cellular: 500.000 (2003). Radio broadcast stations: AM 1, FM 4, shortwave 1 (2001). Television broadcast stations: 1 (2001).

Internet hosts: 45 (2003). Internet users: 5,000 (2002).

Transportation: Highways: total: 27,000 km; paved: n.a. unpaved: n.a. (1999 est.). Waterways: 1,300 km (2004).

Ports and harbors: Bukavu, Goma, Kindu and Kalundu.

Airports: 26 (2007).


KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA KIVU
Jamhuri ya Muungano wa Kivu inakubaliana na vipengele vya thamani vya Katiba ya Kidemokrasia.

HAKI ZA KIBINAADAMU
- Kuishi
- Uhuru
- Uhuru katika kupasha habari
- Uhuru wa kuhutubia, kusema

SHERIA
- Kutolewa au kutekelezwa kwa Sheria
- Kulindwa na unyanyaso wa kutafutwa, na kunyanganywa mali
- Utawala wa Sheria
- Haki ya kuharikisha mashtaki ya Koti la Serikali na kuikomboa (remplacer) kwa njia ya kusambishwa na Raia wateule

WEMA KWA WOTE
- Kutoa Usalama na Ulinzi
- Kutoa mambo mema ya ujamii kwa wote

SERIKALI KIKATIBA
- Haki ya jumla ya wengi kutoa maamzi katika siasa
- Kuheshimu Utofauti
- Sheria inalinda usawasawa wa raia wote bila upendeleo
- Misaada ya ujamii inatolewa sawasawa kwa raia wote bila upendeleo
- Haki za kuenda kwenye uchaguzi na kugombania Kiti au cheo
- Usawasawa wa raia wote katika kuomba kazi
- Usawasawa wa raia wote kuhusu makao na nyumba

Jamhuri ya Muungano wa Kivu ni matunda ya siku nyingi ya mateso ya Watu wa Kivu kwa ajili ya ukombozi na Uhuru Mkuu wa Taifa na pia ulinzi wa mipaka za masultani wa kiasili wa makabila yake, na uhifadhi wa upekee wa mila yao, umoja wa historia yao, umoja wa Asili zao, na umoja wa Lugha yao ya Kiswahili.

Wanaonesha waziwazi nia yao ya kuishi kama watu huru, Wanazingatia haki yao na msimamo wao wa kutaka kuongoza na kuendesha mambo yao wenyewe.

Watu wa Kivu wanatambua umuhimu wa kufikilia kuendesha uchumi na maendeleo yao na kusimika Taifa lenye uhaki, wanaamua kukubaliana kutumia Katiba ifwaytayo:

KIPENGELE 4.- Amba, Bemba, Bembe, Bhele, Buyu, Fuliiru, Havu, Hunde, Joba, Kabwari, Kanu, Komo, Kwami, Lega-Mwenga, Lega-Shabunda, Mvuba, Nande, Nyanga, Nyindu, Rwanda, Shi, Songa, Swahili, Talinga-Bwisi, Tembo; ndizo lugha za kitaifa za Jamhuri ya Muungano wa Kivu.

KIPENGELE 38.- Raisi wa Jamhuri ndiye Kichwa cha Taifa na Kamanda Mkuu wa Majeshi, ila si Kamanda wa Polisi ya Taifa, kwa kuwa Polisi ni kiungo huru mbali na Serikali.

Jukumu kuu la Raisi ni kuchunga utekekezaji wa Katiba (Constitution) na umoja wa Taifa nzima, na kuhakikisha Kivu nzima ina vifaa vyote vya kujipigania na kulinda Raia wake.

KIPENGELE 86.- Mamlaka ya Asili ya Mila (Kutoka kwa mababu): Mamlaka ya Asili ya Mila yanatambuliwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Kivu, kufuatana na Asili za mahali, ikiwa hazitapingana na Katiba ya Umoja, Sheria zake, Usalama wa Raia, vifungo vya Haki za kibinaadamu, na misingi ya uhuru. Kila Sultani anaalikwa kushiriki ndani ya uongozi mzuri wa Taifa na anaalikwa kupata Kiti katika Baraza kuu la Watambo (Masultani) wa Muungano wa Kivu.

Baraza Kuu la Watambo wa Muungano wa Kivu ni chumba kikuu cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Kivu, ambalo laitwa kwa kawaida “Baraza Kuu”. Raisi wa Jamhuri, Baraza la Wabunge na Baraza Kuu pamoja, vyaunda Ubunge wa Kivu. Viti vya Baraza Kuu ni kimoja kwa kila usultani, Vinaongezwa na viti vingine 12 vya ziada (Extra) vinavyopewa kwa watu Waheshimiwa Wazaliwa wa Kivu ambao walitambuliwa kuwa wamefanya mambo mengi mazuri kwa Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Kivu.

Viti vya Baraza la Wabunge (Chumba Kidogo) vyachukuliwa na Raia wa inchi walioteuliwa katika uchaguzi Mkuu huru wa kidemokrasia kwa jumla.

Cheo kamili rasmi cha Baraza Kuu ni “Waheshimiwa wakuu Masultani kiasili na wa muda wa Jamhuri ya Muungano wa Kivu wakiwa wa Baraza la Bunge.

Cheo kamili na rasmi cha wanamemba wa Baraza Kuu ni Waheshimiwa Wakuu X wa Y. Kwa mfano: Mwami Mopipi wa Shabunda. Ni kusema X=Mwami Mopipi, Y=Wa Shabunda.

Watambo ambao ni Washauri wa kipekee (Privy Counsellors) watapewa cheo chao kama WW. Washauri wa kipekee wote wanapewa cheo chao “Waheshimiwa Wakuu”.

KIAPO CHA WABUNGE

“Mimi..., naapa kwa Mungu Mwenyezi kuwa nitaiheshimu Katiba ya Jamhuri wa Muungano wa Kivu na kumuomba Mungu anisaidie na kuniongoza kwenye Katiba hii kwa kuilinda. Nitajitoa kwa nguvu zangu zote kutimiliza mapenzi ya watu walio na kiu cha uhuru, walio na kiu cha kujitawala na kiu cha uhaki. Nitalinda Haki na Uhuru wa Raia wote. Nitafunika na kuhifadhi umoja wa Udongo wa Kivu. Nitatumikia Maendeleo na Uheri wa watu wa Kivu, kupigania na kuinua thamani ya mila zao tukufu za Taifa la Kivu, Mungu, uwe Shahidi wangu”.


WIMBO WA TAIFA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA KIVU

Eh Kivu Tukufu!
Nina heri kuwa Raia wako

Uzuri wa Ardhi yako, Ziwa zako,
Milima yako, na Mito yako
Siku zote vyanilisha na Furaha
Na Matumaini

Eh Kivu wewe u Mzazi
Watoto wako, Watukufu
Umoja wako ni siri ya Nguvu zako
Watu wako wanakupenda
Wataendelea kukutetea

Raia wa Kivu
Uhusiano kati yetu
Wabaki mwema daima
Ushirika kati yetu
Watufanikisha daima
Upendo na Umoja kati yetu
Daima tutashinda adui zetu

Eh Kivu wastahili Amani!


WITO MKUU KWA KILA MWANAUME NA MWANAMKE MTOTO WA KIVU KUJIUNGA NASI KATIKA KUPIGANA VITA

Kivu iliyodhulumiwa, Kivu iliyovunjwa, Kivu iliyokuwa katika dhiki, lakini sasa Kivu ni huru. Ilijikomboa yenyewe, ilikombolewa na Raia wake. Kwa msaada wa kila Mtoto wa Kivu, kwa njia ya Mkivu yeyote mpigana vita. Kivu ya kweli, Kivu isyozimika.

Mimi Elie-Desire Atawale, nasema saa hii nikiwa hapa ndani ya inchi ya Kivu, nawaalika ninyi wanaume na wanawake wote wa Kivu, ninyi mulio hapa kwenye udongo wa asili wa Kivu, na ninyi mulio nje ya Kivu, njoni mujiunge nasi.

Haidhuru yanayoweza kutokea, mwali wa moto wa upinzani wa Kivu hautazimika.

Kwa niaba ya Kivu nayafanya matangazo rasmi haya:
Ni wajibu wa roho ya kitaifa, kwa kila Mtoto wa Kivu kuchukua silaha na kuendeleza harakati za ukombozi wa Taifa letu.

Maana kushusha silaha chini au kutoroka kampi muhimu ya kijeshi, au kukubaliana kuipana sehemu yoyote ya udongo wa Kivu, au kutoa kitu chochote hata kingekua kidogo, na kukubali kiwe chini ya utawala wa Adui wetu RDC, ni usaliti na dhambi kubwa zidi ya Taifa letu.

Ninawatangazia Watoto wote wa Kivu, njoni mujiunge nami, tuizunguke Serikali yetu mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Kivu, ambayo tu ndilo jukua la pekee linalounganisha Taifa la Kivu, na tuendelee na harakati zetu za vita zidi ya Adui Mshambulizi wetu RDC.

Ninyi wanajeshi wote wa Kivu, Simameni!

Uvamizi wa RDC juu ya Inchi yetu umewafanya Raia wetu kushushwa sana kwa kiwango cha nusu-mutu na kutufanya kuwa chombo cha Utumwa.

Tangu leo watoto wa Kivu wamekataa kukubali uvamizi haramu wa majeshi na utumwa wa RDC kwa sababu zifuatazo:

Heshima, Kusudi la umoja, na Faida za Taifa la Kivu.

Kusudi la umoja, kwa kuwa ni upumbafu kukubali kuwa nguvu zetu hazifai.

Kwa Faida za Taifa la Kivu, ilikuwa vema vita ifanyike na iwe tu hiyo vita moja kama ilivyokusudiwa

Mwisho wa vita hii utaonyesha nguvu za Uhuru zimeshinda hizo nguvu za Utumwa.

Heshima, Kusudi la Umoja na faida za Taifa la Kivu vyaagiza ya kwamba ni lazima kila Mtoto wa Kivu aendelee na vita kwa njia iliyo bora zaidi.

Ni lazima kukusanya zaidi nguvu ya watoto wa kivu iliyo kuu kupita kama iwezekanavyo.

Ninawaalika Watoto wa Kivu wote waliyo katika ukimbizi, na wale wanaopatikana katika inchi za kigeni, walioko Ulaya na katika sehemu nyigine zote za dunia, warudi Kivu na wajiunge nami.

Hakuna upendo mwingine mkuu kwa Mtoto wa Kivu kama upendo wa Kiraia, Upendo wa Taifa la Kivu.

Ninawaaalika Wasomi wote wototo wa Kivu wajiunge nami, na iwe njia ya kutumia maarifa yenu kwa manufaa na faida za Taifa, na wana wetu, siku zinazokuja watatushukuru.

Njia yoyote ambayo yawezakuwa na uwezo wa kijeshi na utowaji wa silaha, lazima itunzwe vema popte pale ilipo.

Ninawaalika Watoto wote wa Kivu wote walio na shauku ya kupata uhuru waisikilize sauti yangu na wanifuate.

Ni jambo la ukweli lililo wazi kuwa sisi tunadhulumiwa na kuteswa na Majeshi Adui zetu ya RDC. Lakini, je, hilo laweza kuwa neno la mwisho lililosemwa? Je, tupoteze matumaini yote? Je, huko kuvamia udongo wetu kiharamu na RDC, ni mwisho wa mambo ambayo hayawezi kupinduliwa?

Kwa maswali haya yote, jibu langu ni, HAPANA

Nikiwa na maarifa ya mambo haya, nawaambieni, Kivu itapata ushindi katika vita vyake. Yale yaliyosababisha uvamizi wa inchi yetu ni yaleyale mambo ambayo, sasa, lazima yatuongoze katika ushindi.

Watoto wa Kivu, jueni haya, Kivu haiendi peke yake, Kivu haitengwi na ulimwengu.

Tayari Kivu iko huru kwenye nyanja za mataifa mengine na hata haya mataifa mengine yanatutambua na kutukubali, sababu sisi nasi tupo tayari sehemu ya jamii kama mataifa mengine huru kwenye uso wa dunia.

Shirika la mataifa yote ulimwenguni na viungo vya maserikali ya kigeni wapo tayari kwa kuisaidia Kivu ichukue Uhuru wake, wakitambua bidii na kujitolea kwa raia wa Kivu anavyochukua silaha kwa kupigania Uhuru wake, Uhuru wa watu wake, Uhuru wa ufanisi wa jamaa lake na wa wazazi wake.

Nyuma ya uwezo wenye nguvu wa upinzani wa Kivu, kuna Milki au utawala mkubwa, na Kivu inaungana na Milki hii kwa ajili ya faida ya umoja.

Enyi Watoto wa Kivu, njoni mujiunge nami. Tutawaongoza katika njia itakayotuelekeza kwenye Ukombozi.

Kivu iishi milele! Kivu iishi huru katika Heshima na Kujitegemea


KIVU CITIZENSHIP OATH AND PLEDGE

The form of citizenship oath and pledge is as follows for registration of or naturalisation as a Kivu citizen:

OATH

"I, [name], swear by Almighty God that, on becoming a Kivu citizen, I will be faithful and bear true allegiance to the United Republic of Kivu, and its legitimate Democratically and Constitutionally elected Government according to law."

PLEDGE

"I will give my loyalty to the United Republic of Kivu and respect its rights and freedoms. I will uphold its democratic values. I will observe its laws faithfully and fulfil my duties and obligations as a Kivu citizen."

Privy Council of the United Repulbic of Kivu

The United Republic Kivu Most Honourable Privy Council is a body of advisors to the United Republic of Kivu President. The Council is a powerful largely ceremonial institution. Most of its power is held by one of its committees, the Cabinet. The Council also performs judicial functions, which are for the most part delegated to the United Republic of Kivu Law Society the Judicial Committee.

The President of the United Republic of Kivu, when acting on the Council's advice, is known as the President-in-Council. The members of the Council are collectively known as Regency Councillors of the Most Honourable Privy Council.

OAT

“You do swear by Almighty God to be a true and faithful Servant unto The lawfully elected President of the Untied Republic of Kivu as one of His Excelency’s Privy Council. You will not know or understand of any manner of thing to be attempted, done or spoken against the Nation of Kivu or the President’s Person, Honour, Dignity, but you will lett and withstand the same to the uttermost of your power, and either cause it to be revealed to His Execelency Himself, or to such of His Privy Council as shall advertise His Excelency of the same. You will in all things to be moved, treated and debated in Council, faithfully and truly declare your Mind and Opinion, according to your Heart and Conscience; and will keep secret all matters committed and revealed unto you, or that shall be treated of secretly in Council. And if any of the said Treaties or Counsels shall touch any of the Counsellors you will not reveal it unto him but will keep the same until such time as, by the consent of His Excelency or of the Council, Publication shall be made thereof. You will to your uttermost bear Faith and Allegiance to the United Republic of Kivu; and will assist and defend all Jurisdictions, Pre-eminences, and Authorities, granted to His Excelency and annexed to the Government by Acts of Parliament, or otherwise, against all Foreign Princes, Persons, Prelates, States, or Potentates. And generally in all things you will do as a faithful and true Servant ought to do to His Excelency. So help you God.”


Both "Privy Counsellor" and "Privy Councillor" may be correctly used to refer to a member of the Council. The former, however, is preferred by the Privy Council Office. A Privy Counsellor is said to be 'sworn of' the Council when he/she first joins it.

Though the Privy Council as a whole is "The Most Honourable", individual Privy Counsellors are entitled to the style "The Right Honourable". For commoners, on the other hand, "The Right Honourable" is sufficient identification of status as a Privy Counsellor.

Privy Counsellors are entitled to positions in the order of precedence. At the beginning of each new Parliament, members of the House of Commons who are Privy Counsellors may take the oath of allegiance before all other members except the Speaker and the Father of the House (the most senior member of the House).


The Programme of Government

The United Republic of Kivu subscribes to the core values of Constitutional Democracy

Constitutional Democracy

The Ideological Foundations of State Administration are those of a Constitutional Democracy both in values, principles and policies:

INDIVIDUAL RIGHTS

- Life
- Liberty
- Freedom of press
- Freedom of speech

JUSTICE

- Due process
- Protection against unreasonable search and seizure
- Rule of law
- Right to a speedy public trial by a jury

THE COMMON GOOD

- Provide for safety and security
- Promote the general welfare

CONSTITUTIONAL GOVERNMENT

- Majorities have right to make political decisions
- Respect for differences
- Equal protection of the law
- Social equality
- Right to vote and seek office
- Equal employment opportunity
- Equal housing opportunity

Public Safety and Security

Without Safety and Security, good governance and the provision of all political goods, is impossible.

Security refers to a nation-state’s monopoly of violence. If there are insurgencies within the state, violence against the government in power, or rebellions against authority, the nation-state is neither safe nor secure for its people. Likewise, if the state is invaded from outside or has porous borders, the government of the nation-state cannot provide, as nation-states are mandated to do, a safe and secure environment for the pursuit of individual or group free endeavours within the nation-state.

Nor are the citizens of a modern nation-state safe or secure if the government in power cannot guarantee their personal security. Citizens demand to be free of mugging, car jacking, violent crime, and homicide. Thus, personal security is the second major component of the political good of safety and security. Countries with lower crime rates are supplying greater quantities and qualities of the safety segment of the political good of safety and security than those states where crime is rampant.

The control of the Level of violent crime in the streets.
Difficulty on the ease of access to small arms and light weapons and its tight regulation.

National Defence and Security

To establish a disciplined and well-trained and organized National Defence Forces.
To establish a well trained motivated Police Force to assure Public Safety of all citizens.
Providing solutions to prevent armed conflicts.

Providing foreign Refugees and asylum seekers originating from foreign countries a safe heaven, but only when in the best interest of the Nation, and only when genuine political refugees.

Rule of Law, Transparency and Corruption

Governments and governance cannot exist or function without the political good called Rule of Law. Such a designation refers to Common Law or to a codified, transparent method of adjudicating personal disputes of all kinds, formal and informal contractual obligations, and disputes between citizens and the nation-state, without resort to violence. Thus, nation-states with enforceable codes of law, nation-states that have adhered to international conventions and legal obligations, and nation-states with judicial mechanisms free of state control have stronger rule of law regimes and supply larger amounts of the political good of Rule of Law.

Ratification of all Critical Legal Norms
Judicial Independence and Efficiency of the Courts of Law
Eradication of Corruption

As the term “rule of law” highlights “the idea of laws enacted - laid down, legislated - by an authoritative body.” The protection of the citizen’s basic human rights and upheld the basic principles of democracy.

To promote the ratification of all Critical Legal Norms.

To promote the ratification of core international human rights conventions.

To assist in the implement of economic and political sanctions in those countries where there are known human rights violations.

To allow the draft of Laws on contracts and property rights and other important areas for which clear legal norms are key to the development of the economy.

To assure the Existence of an Independent and Efficient Judicial System.

To assure the Existence of the Judicial independence, based on the rule of law.

To assure the independence and Efficiency of the courts in all matters pertaining to legal justice.

To assure the Efficiency of national institutions regarding contract enforcement, Doing Business measures the efficiency (in days) of “contract enforcement following the evolution of a sale of goods dispute and tracking the time involved from the moment the plaintiff files the lawsuit until actual payment.”

Corruption

To eradicate corruption in the Government and Public sector.

Citizens Participation and Human Rights

To promote the political good of political freedom has an essential tool to good governance. It includes Participation—the ability to contest elections freely; Respect for Basic Human Rights—all of the essential liberties and rights; and the Absence of Gender Discrimination.

To prevent discrimination, such as discrimination against ethnic groups and religious minorities (including ethnic) conflict. Without these components of political freedom, many other political goods that collectively compose good governance are difficult to exercise.

The Free and spontaneous Participation of each Citizens in the public and political life of the Nation.

To allow for Competitive Executive Elections, based on whether independent observer missions judge national elections to be “free and fair.”

Participation of main opposition candidates in Executive Elections.

Competitive Legislative Elections, based on whether official independent observer missions judge national elections to be “free and fair.”

Participation of main opposition candidates in legislative elections.

Respect for Civil and Political Rights of each State Citizens.

Respect for physical rights (absence of extra judicial killing, disappearances, torture, and political imprisonment).

Respect for civil rights (freedom of movement, political participation, worker's rights, freedom of speech, and freedom of religion).

To assure Press freedom at the most basic level.

To assure Absence of Gender Discrimination.

To advance Women’s Economic Rights.

To promote Women’s Political Rights.

To progress Women’s Social Rights.

Sustainable Economic Opportunity

To create and maintain Sustainable Economic Opportunities is an essential political good. Well-governed nation-states enable their citizens to pursue personal entrepreneurial goals and potentially prosper. They do so by providing regulatory frameworks conducive to such prosperity and by creating stable and forward-looking macroeconomic and fiscal policy environments that facilitate and encourage national and personal wealth creation. Arteries of commerce—a robust physical communications and transportation infrastructure—are also critical to the achievement of these national and personal objectives. Significant, too, is the extent to which African countries are safeguarding their environments. Doing so assists in sustaining economic opportunity. In order to measure the extent to which nation-states are providing this essential political good and its components.

To incentive Wealth Creation.

To monitor and maintain in a prosper level the GDP per capita.

To allow for Local and National Economic growth.

To allow and maintain Macroeconomic Stability and Financial Integrity.

To implement the necessary financial mechanisms of good economical governance and responsible control of the annual inflation rates.

To control and account for Government budget deficits and surpluses as a percentage of GDP.

To establish the Reliability of financial institutions and monitor the overall local and national business environment.

Taxes

Lower taxes benefit all citizens, creating jobs and allowing citizens to make more decisions for themselves about their lives.

Lower taxes allow more spending, saving, and investing which helps the economy - that means all citizens.

The economy and independence as a nation is increasingly in the hands of foreign governments such as the Communist and totalitarian regime of the Peoples Republic of China, this musty be brought to a full stop.

Corporate ethics

The bottom line for corporations is making a profit. Self-interest is a reliable motivator, and when it can be channelled in positive ways, society benefits. This positive channelling will occur only if corporate behaviour is constrained by ethical principles.

In the economic realm, as in all areas of life, self-interest must be balanced with responsibility for others. Experience shows that many businesses will operate in a responsible manner only if they are subjected to clear regulations and careful scrutiny.

Many business people are very conscientious, and attempt to function in socially responsible ways. Sometimes they are successful. However, in the absence of appropriate regulations, businesses that do attempt to operate in a responsible manner sometimes find they simply cannot compete with their less scrupulous competitors.

For businesses to be able to function in responsible ways requires attention to the “rules of the game” within which competition must take place.

Arteries of Commerce

The density of a nation’s road network (both paved and unpaved) per square kilometre of national land.

The supply, availability, reliability and access of electricity to the population.

The development of each African nation infrastructures of Land Line and Mobile (cellular) telephone network. Promoting and allowing free access to the Internet and promote the access to Computers.

Environmental Sensitivity

Environmental health, air quality, water resources, productive natural resources, biodiversity and habitat, and sustainable energy. Reduction of environmental stresses on human health and promotion of ecosystem vitality and natural resource management.

Human Development

Governments are charged by their constituents with supplying the political good of effective human development. Everywhere, especially in Africa, citizens expect their governments to provide opportunities for educational advancement, health care and medical and sanitary services, and poverty mitigation and alleviation.
The Federation of African Free States is determined to assist and help its affiliated Sovereign Nation States to eradicate National Poverty; the percent of all nationals live on less than US$1 day (the globally recognized poverty figure).
To implement the mechanisms that permits and allows a fair an equal national distribution of income.

Publicly Funded Health Care

Publicly funded health care financed entirely or in majority part by citizens' tax payments.

Health Outcomes:
To improve the Life expectancy at birth.
To prevent Infant mortality.
To prevent Maternal mortality.

To tackle Undernourishment in Africa to eradicate the percentage of the population whose food intake is below the minimum dietary energy requirements.
To increase the percentage of children immunized against measles.

To increase the percentage of children; aged 12-23 months immunized against diphtheria, pertussis (whooping cough), and tetanus (DPT).
To provide treatment to people living with HIV, by using traditional methods and new discovery treatments.
To control and treatment for all TB cases (incidence).
To provide to all African Citizens Access to qualified physicians: and increase the density of physicians per 1000 people.
To provide to all African Citizens Access to trained nurses: and increase density of nurses per 1000 people
To establish an infrastructure that will enable the total of the population with access to potable water.

Educational Opportunity

To establish and maintain a high level of Adult literacy.

To establish and maintain a high level of Adult literacy among women, men and children.

To establish and maintain a high level of Primary school completion rate (the percentage of school-aged children who complete the last year of primary school)
To establish and maintain a high level of Primary school completion rate among girls.

To establish and maintain a high level of Pupil/Teacher ratio in primary schools.

To establish and maintain a high level of Persistence: Progression of all students from primary to secondary school.

Social Security

The establishment of a fully working African Social Welfare Service concerned with social protection, or protection against socially recognized conditions, including poverty, old age, disability, unemployment and others.

1. Social insurance, where people receive benefits or services in recognition of contributions to an insurance scheme. These services will include provision for retirement pensions, disability insurance, survivor benefits and unemployment insurance.
2. Income maintenance; distribution of cash in the event of interruption of employment, including retirement, disability and unemployment.
3. Basic General Security, African citizens access to basic necessities; such as food, clothing, shelter, education and medical care.

African Independence and Sovereignty

So called free trade deals and world governmental organizations are a threat to independence as nations. They transfer power from our African governments to unelected foreign elites, such as the Communist Peoples Republic of China.

Withdrawal from all and any organizations and trade deals that infringe upon the freedom and independence of the African States.


UNITED KIVU GENERAL LINKS

United Republic of Kivu Images of United Kivu II Images of United Kivu III
Images of United Kivu I KIVU NATIONAL BANK
Berlin Conference of 1884-1885 KIVU COFFEE KIVU MINING
United Kivu Political Status KIVU FISHERIES KIVU PALM OIL
United Republic of Kivu KIVU METHANE GAS EXTRACTION VIDEOS

Investment in United Republic of Kivu

Invest in Kivu

History of the Kivu Chief-Kingdoms

GOVERNMENT INFORMATION

CONSTITUTION Private Property Rights Protection LA VISION DE L’AVENIR DU KIVU UNIFIE
DECLARATION OF INDEPENDENCE Kivu National Investment Policy
TABLE RONDE GOMA Kivu Registry Act KIVU MINING ACT
GOVERNMENT CABINET OF UNITED KIVU Massacre of Kivu Population in the
South Kivu 26 and 27 May 2007
KIVU NATIONAL BANK
Letter to oppressing Foreign Forces Kivu Postal Stamps


FFSA

Federation of the Free States of Africa

MENU - INDEX

Contact

Secretary General
Mangovo Ngoyo

Email: [email protected]

www.africafederation.net

Africa Federation , Federación Áfricana , Afrika Federation , 아프리카 연맹 , Afrika Föderation , Afrikka liitto , アフリカ連合 , Afrika Federatie , Африка Федерации , Fédération Afrique , África Federação


Africa Federation , Federación Áfricana , Afrika Federation , 아프리카 연맹 , Afrika Föderation , Afrikka liitto , アフリカ連合 , Afrika Federatie , Африка Федерации , Fédération Afrique , África Federação